IQNA – Msafara wa mazishi ya Kiongoz Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei utafanyika mjini Tehran siku ya Jumamosi na Jumapili.
Habari ID: 3482411 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/28
IQNA-Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Mkataba wa Maelewano (MoU) wa kumaliza vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran haukuwa matokeo ya shinikizo au kulazimishwa, bali ni zao la ustahimilivu na nguvu ya taifa shupavu la Iran.
Habari ID: 3482399 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/24
IQNA – Gavana wa mji mtakatifu wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran amesisitiza utayari kamili wa mji huo katika kuandaa shughuli za mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei.
Habari ID: 3482394 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/23
IQNA – Maombolezo ya Muharram kwa ajili ya Imam Hussein (AS) yamefanyika karibu na Husseiniyeh ya Imam Khomeini (RA) jijini Tehran, siku ya Jumapili jioni.
Habari ID: 3482391 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/22
IQNA-Ofisi inayohusika na kuhifadhi na kuchapisha kazi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza ratiba ya hafla za kuaga, mazishi, na kuzikwa kwa Shahidi Ayatullah Imam Sayyid Ali Khamenei ambapo mamilioni wanatarajiwa kushiriki.
Habari ID: 3482354 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/13
IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) likishirikiana na Jeshi la Kitaifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (Artesh), limetangaza mfululizo wa operesheni za kijeshi za kulipiza kisasi zilizoratibiwa vyema dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3482349 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/11
IQNA – Msemaji wa Manispaa ya Tehran ametangaza utayari kamili wa manispaa hiyo kwa ajili ya shughuli ya kusindikiza mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3482342 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/09
IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeshambulia kambi mbili za anga za Marekani huko Kuwait na vituo vilivyobaki vya Kikosi cha Tano cha Jeshi la Wanamaji la Marekani (US Fifth Fleet) huko Bahrain ili kujibu uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani.
Habari ID: 3482327 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/06
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema mahasimu wa Iran wamegeukia mbinu za "vita vya mseto" baada ya kushindwa vibaya mbele ya vikosi vya ulinzi vya nchi hii na kusisitiza kuhusu umoja na umakini wa kitaifa ili kusambaratisha njama za maadui.
Habari ID: 3482322 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/04
IQNA – Misafara ya mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, inatarajiwa kufanyika katika miji mitatu ya Iran, kwa mujibu wa taarifa ya afisa mmoja.
Habari ID: 3482320 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/03
Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa
IQNA-Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa kimesema kuwa ushiriki, uwezeshaji na ushirikiano wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika vita vya hivi karibuni vya uchokozi vilivyoanzishwa na Marekani pamoja na utawala wa Israel dhidi ya Iran ni sawa na “kusaidia kambi ya ukafiri dhidi ya ndugu Waislamu” na kwa hivyo ni “haramu kabisa.”
Habari ID: 3482238 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/14
IQNA – Mufti Mkuu wa Oman ametoa wito kwa Waislamu kusimama kwa umoja katika kukabiliana na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Kiislamu.
Habari ID: 3482224 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/10
IQNA-Klipu ya video cha mkutano wa mwisho wa Kiongozi Shahidi pamoja na jamii ya Qur’ani Tukufu ya Iran, ambao uliandaliwa katika muundo wa mkusanyiko wa ‘Uns na Qur’an’ mwanzoni mwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3482214 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/08
Rais wa Iran katika Mazungumzo ya Simu na Rais wa Ufaransa:
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amemwambia mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, kuwa Tehran iko tayari kuendelea kwa dhati kupitia njia za kidiplomasia ili kukomesha vita, huku ikisisitiza umuhimu wa kulindwa kwa haki za taifa la Iran.
Habari ID: 3482213 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/07
IQNA – Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaka serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kusitisha kujipanga upande mmoja na kushirikiana na pande zinazoiwekea uadui Jamhuri ya Kiislamu.
Habari ID: 3482210 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/07
IQNA – Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Russia (Urusi) amewasilisha ujumbe wa shukrani kutoka kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, kwa Mwenyekiti wa Baraza la Mufti wa Shirikisho la Russia.
Habari ID: 3482187 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/01
IQNA-Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametangaza mwanzo wa “sura mpya” kwa Mlango Bahari wa Hormuz, njia ya kimkakati ya baharini.
Habari ID: 3482185 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/01
IQNA- Kampeni ya kiroho ijulikanalo kama “Kuelekea Ushindi kwa Uongozi wa Mwenyezi Mungu(Wilayah)” limeandaliwa na IQNA kwa mnasaba wa kuchaguliwa kwa Kiongozi mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, pamoja na kiapo cha utii kilichotolewa kwake.
Habari ID: 3482166 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/26
IQNA – Sheikh Osama Karbalayi, msomaji wa kimataifa wa Qur’ani kutoka Iraq, amesisitiza kuwa misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid Al‑Afasi, katika kuhalalisha uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, inapingana na kiini cha mafundisho ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482164 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/26
IQNA – Msomaji mashuhuri wa Ibtihal kutoka Misri na jaji wa mashindano ya Qur’ani ametangaza kuwa atatayarisha kasida yenye maudhui ya Qur’ani ili kukabiliana na mashambulizi ya yaliyofanywa na qari mmoja kutoka Kuwait dhidi ya Iran na mhimili wa muqawama.
Habari ID: 3482162 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25